Katika kuzingatia
Afya
Mdundo huu unashughulikia masuala ya afya ya watu, ufikiaji wa huduma bora za afya, mifumo ya afya ya umma, maendeleo ya kisayansi, na masuala ya afya yanayoibuka.
Shinikizo la damu: Ripoti ya kwanza ya Shirika la Afya Duniani inaelezea athari mbaya za shinikizo la damu na njia za kuizuia
—Benedict Okey Oramah, Rais wa Afreximbank na Mwenyekiti, Bodi ya Wadhamini ya hazina ya Kuwajibikia COVID-19 ya Umoja wa Afrika.
—Benedict Okey Oramah, Rais wa Afreximbank na Mwenyekiti, Bodi ya Wadhamini wa Hazina ya Kukabili ya Umoja wa Afrika ya COVID-19.
Chanjo milioni 38 pekee ndizo zimepokelewa katika bara la watu wapatao bilioni 1.2
Kuzishinda changamoto za kiafya, kibinadamu, tabianchi na kiuchumi
Afrika inawakilisha asilimia 26 ya idadi ya watu wote duniani lakini ina chini ya asilimia 0.1 ya uzalishaji wa chanjo duniani
Orodha ya jitihada ambazo nchi zitalazimika kufanya ili kukabiliana na athari ya janga hili ni ndefu mno.
Mtaalam wa dharura za kimatibabu na majanga, Dkt. Babia aliwahi kukabiliana na majanga manne ya kiafya.
Upatikanaji unahitaji mshikamano wa kimataifa, teknolojia ya pamoja na kuondoa masharti ya Haki Miliki.
Wakazi 3,000 walioathiriwa na sumu ya madini ya risasi wapewa fidia ya dola milioni 12, ingawa usafi bado haujafanywa.
— Bi. Fatima Kyari Mohammed Mchunguzi wa Kudumu na Mkuu wa Ujumbe wa Umoja wa Afrika katika Umoja wa Mataifa.