Sorry, you need to enable JavaScript to visit this website.
Skip to main content

Katika kuzingatia

Amani na Usalama

Mdundo huu unahusu utatuzi wa migogoro, ulinzi wa amani, na shughuli za kujenga amani; ushiriki wa wanawake katika amani na usalama; na juhudi za watu binafsi na serikali hatimaye ‘Kunyamazisha Bunduki’ barani Afrika.

Africa COVID-19mRNA

Kitahakikisha Afrika ina uwezo wa kuzalisha ambao ni muhimu kwa utoaji wa chanjo wenye usawa

Mabadiliko katika itikadi, kujiendeleza baada ya Uviko-19 na kutumia ajenda ya malengo ya maendeleo endelevu (SDG) kunaweza kusaidia

UN-AU

Taarifa ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika Mkutano na Waandishi wa Habari na Moussa Faki Mahamat, Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika, kufuatia Mkutano wa Umoja wa Afrika na Umoja wa Mataifa.

Gender Based Violence

Kampeni inaanza tarehe 25 Novemba hadi 10 Disemba chini ya Mada: “Orange the World: End Violence against Women Now!”

peacekeepingpolice

Mrakibu wa Nepal Sangya Malla alisaidia kuanzisha Kitengo cha Afya na Mazingira, na kuimarisha usalama na ustawi wa wadumisha amani.

COVID-19 VaccineAfreximbak

—Benedict Okey Oramah, Rais wa Afreximbank na Mwenyekiti, Bodi ya Wadhamini ya hazina ya Kuwajibikia COVID-19 ya Umoja wa Afrika.

Africa COVID-19vaccine

—Benedict Okey Oramah, Rais wa Afreximbank na Mwenyekiti, Bodi ya Wadhamini wa Hazina ya Kukabili ya Umoja wa Afrika ya COVID-19.

SDGAfrica COVID-19

Ripoti ya Malengo ya Maendeleo Endelevu ya 2021 inabainisha hatua muhimu, lakini janga tandavu limekuwa pigo kuu.

Anga

Sekta ya anga ya Afrika inatafuta njia za kupona baada ya hasara zaidi ya dola bilioni 6 kwa sababu ya kuena kote.

Peacekeepers Day 2021

— Kossi Gavon mwenye umri wa miaka 24, ni Luteni kutoka Togo anayehudumu katika Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kulinda Amani nchini Mali. (MINUSMA)

Siku ya walinda usalama2021

Phelisa Frida Miya nwenye umri wa miaka 28, ni mwanajeshi wa kikosi cha anga/mwanamke wa kufyatua bunduki kutoka Afrika Kusini anayehudumu katika Ujumbe wa Kulinda Amani wa Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (MONUSCO).