Katika kuzingatia
Wanamapinduzi waliorejea: Kutimiza ndoto, kupata uhuru
Kukabiliana na urithi wa utumwa kwa kulipa fidia
Kampuni mpya zaendesha mfumoikolojia wa nishati ya jua barani Afrika
Kuisaka mizizi ya familia zaidi ya DNA
Chaguo za Mhariri
AfCFTA inaweza kuongeza juhudi za wakulima wa Kiafrika kushindana na EU
- Merveille-Noella Mada-Yayoro, 29, mwandishi wa habari na mtayarishaji wa Guira FM huko CAR.
Phelisa Frida Miya nwenye umri wa miaka 28, ni mwanajeshi wa kikosi cha anga/mwanamke wa kufyatua bunduki kutoka Afrika Kusini anayehudumu katika Ujumbe wa Kulinda Amani wa Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (MONUSCO).
— Kossi Gavon mwenye umri wa miaka 24, ni Luteni kutoka Togo anayehudumu katika Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kulinda Amani nchini Mali. (MINUSMA)
Namna jukwaa la Afrika linavyozileta pamoja sauti katika chombo cha kijamii chenye msisimuo
Mpiga picha mwenye asili ya Kenya na mzaliwa wa Kenya azindua jukwaa la ulimwengu kutangaza talanta zao.
Biashara Huru ya bara Afrika inaweza kubuni mikondo ya maadili na ujuzi kwa manufaa ya wanawake wengi wa Afrika walio katika uchimbaji madini
Kuzishinda changamoto za kiafya, kibinadamu, tabianchi na kiuchumi
Utamaduni tajiri wa Afrika unastahili kwenda zaidi ya mapambo ya kisanii, muziki au densi na kuonyesha mfumo thabiti wa maadili unaoyakumbatia mabadiliko, kukuza ubunifu na kuchangia kwa ulimwengu.
Mageuzi katika mifumo ya kilimo na chakula yanaweza kufungulia uwezo wa Afrika
— Balozi Valentine Rugwabiza, Mjumbe wa Kudumu wa Rwanda katika Umoja wa Mataifa.