Sorry, you need to enable JavaScript to visit this website.
Skip to main content

Katika kuzingatia

Amani na Usalama

Mdundo huu unahusu utatuzi wa migogoro, ulinzi wa amani, na shughuli za kujenga amani; ushiriki wa wanawake katika amani na usalama; na juhudi za watu binafsi na serikali hatimaye ‘Kunyamazisha Bunduki’ barani Afrika.

UN-AU

Taarifa ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika Mkutano na Waandishi wa Habari na Moussa Faki Mahamat, Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika, kufuatia Mkutano wa Umoja wa Afrika na Umoja wa Mataifa.

peacekeepingpolice

Mrakibu wa Nepal Sangya Malla alisaidia kuanzisha Kitengo cha Afya na Mazingira, na kuimarisha usalama na ustawi wa wadumisha amani.

COVID-19 VaccineAfreximbak

—Benedict Okey Oramah, Rais wa Afreximbank na Mwenyekiti, Bodi ya Wadhamini ya hazina ya Kuwajibikia COVID-19 ya Umoja wa Afrika.

Africa COVID-19vaccine

—Benedict Okey Oramah, Rais wa Afreximbank na Mwenyekiti, Bodi ya Wadhamini wa Hazina ya Kukabili ya Umoja wa Afrika ya COVID-19.

SDGAfrica COVID-19

Ripoti ya Malengo ya Maendeleo Endelevu ya 2021 inabainisha hatua muhimu, lakini janga tandavu limekuwa pigo kuu.

Anga

Sekta ya anga ya Afrika inatafuta njia za kupona baada ya hasara zaidi ya dola bilioni 6 kwa sababu ya kuena kote.

Siku ya walinda usalama2021

Phelisa Frida Miya nwenye umri wa miaka 28, ni mwanajeshi wa kikosi cha anga/mwanamke wa kufyatua bunduki kutoka Afrika Kusini anayehudumu katika Ujumbe wa Kulinda Amani wa Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (MONUSCO).

Siku ya walinda amani 2021

- Merveille-Noella Mada-Yayoro, 29, mwandishi wa habari na mtayarishaji wa Guira FM huko CAR.

Peacekeepers Day 2021

— Kossi Gavon mwenye umri wa miaka 24, ni Luteni kutoka Togo anayehudumu katika Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kulinda Amani nchini Mali. (MINUSMA)

Africa

Afrika inawakilisha asilimia 26 ya idadi ya watu wote duniani lakini ina chini ya asilimia 0.1 ya uzalishaji wa chanjo duniani