.
Katika kuzingatia
Maji ya Afrika ni mustakabali wake. Ni nani atakayeyasimamia?
Ofisi ya Mshauri Maalum kuhusu Afrika
Serikali na wafadhili wameyachukulia maji kama changamoto, badala ya kuona maji kama miundombinu ya uzalishaji inayosimama sawa na barabara, bandari na mtandao wa nishati
Vijana wa Afrika na mustakabali wa tabianchi
Hatua za hali ya hewa
Katika mkutano wa Vijana wa Umoja wa Mataifa (UN Youth Forum), viongozi wanne wa masuala ya tabianchi kutoka Afrika na diaspora waliungana kutoa wito wa kuimarishwa kwa ulinzi wa mazingira na rasilimali muhimu za bara la Afrika
Maendeleo ya Afrika kuelekea usalama wa chakula
Ulinzi wa Jamii
Kuwekeza katika uzalishaji, umwagiliaji maji, teknolojia na vijana kunaweza kusaidia Afrika kujitosheleza kwa chakula
Chaguo za Mhariri
Waafrika lazima wahusike katika majaribio ya chanjo, na wajitayarishe kuwa katika mstari wa kwanza ianzapo kutumika
Nchini Tanzania, Umoja wa Mataifa umesema utaendelea kushirikianana serikali katika kuhifadhi mazingira sambamba na kuhakikisha kuwa uhifadhi huo unachangia katika kuongeza kipato kwa wananchi.