Sorry, you need to enable JavaScript to visit this website.
Skip to main content

Juni 2021

Siku ya walinda amani 2021

- Merveille-Noella Mada-Yayoro, 29, mwandishi wa habari na mtayarishaji wa Guira FM huko CAR.

Siku ya walinda usalama2021

Phelisa Frida Miya nwenye umri wa miaka 28, ni mwanajeshi wa kikosi cha anga/mwanamke wa kufyatua bunduki kutoka Afrika Kusini anayehudumu katika Ujumbe wa Kulinda Amani wa Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (MONUSCO).

Peacekeepers Day 2021

— Kossi Gavon mwenye umri wa miaka 24, ni Luteni kutoka Togo anayehudumu katika Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kulinda Amani nchini Mali. (MINUSMA)

EUBiashara ya haki

AfCFTA inaweza kuongeza juhudi za wakulima wa Kiafrika kushindana na EU

COVID19Coronavirus Vaccine

Chanjo milioni 38 pekee ndizo zimepokelewa katika bara la watu wapatao bilioni 1.2

Dijiti Dijiti

Changamoto ni pamoja na ukosefu wa intaneti ya kuaminika na ukosefu wa maarifa ya kifedha

Mkutano wa Mifumo ya Chakulamabingwa wa chakula

Kabla ya Mkutano wa Mifumo ya Chakula wa 2021 wa UN mnamo Septemba hii, Mabingwa wa Mifumo ya Chakula wanakusanya jamii za ulimwengu na kukuza mazungumzo kwa suluhisho za ubunifu, vitendo na endelevu.

mabingwa wa chakula

Mwasisi na Mkurugenzi Mtendaji, Muungano wa Vijana wa Kilimo Bora kwa Hali ya Hewa (CSAYN), Kamerun

mabingwa wa chakula

Muungano wa Asasi za Kiraia za Lishe (CSONA), Malawi

AfCFTACOVID-19

Athari ya COVID-19 imefichua udhaifu wa mifumo ya sasa ya chakula, lakini pia imefunua fursa kwa Afrika kufanya biashara na Afrika chini ya AfCFTA