Juni 2021
- Merveille-Noella Mada-Yayoro, 29, mwandishi wa habari na mtayarishaji wa Guira FM huko CAR.
Phelisa Frida Miya nwenye umri wa miaka 28, ni mwanajeshi wa kikosi cha anga/mwanamke wa kufyatua bunduki kutoka Afrika Kusini anayehudumu katika Ujumbe wa Kulinda Amani wa Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (MONUSCO).
— Kossi Gavon mwenye umri wa miaka 24, ni Luteni kutoka Togo anayehudumu katika Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kulinda Amani nchini Mali. (MINUSMA)
AfCFTA inaweza kuongeza juhudi za wakulima wa Kiafrika kushindana na EU
Chanjo milioni 38 pekee ndizo zimepokelewa katika bara la watu wapatao bilioni 1.2
Changamoto ni pamoja na ukosefu wa intaneti ya kuaminika na ukosefu wa maarifa ya kifedha
Kabla ya Mkutano wa Mifumo ya Chakula wa 2021 wa UN mnamo Septemba hii, Mabingwa wa Mifumo ya Chakula wanakusanya jamii za ulimwengu na kukuza mazungumzo kwa suluhisho za ubunifu, vitendo na endelevu.
Mwasisi na Mkurugenzi Mtendaji, Muungano wa Vijana wa Kilimo Bora kwa Hali ya Hewa (CSAYN), Kamerun
Muungano wa Asasi za Kiraia za Lishe (CSONA), Malawi