.
Katika kuzingatia
COVID-19
Mdundo huu unaangazia athari za COVID-19 kwa Afrika, safari ya chanjo, ikiwa ni pamoja na usawa wa chanjo na kukabiliana na taarifa potofu dhidi ya sayansi. Pia inaangalia jinsi nchi zinavyopona na kujenga upya baada ya janga hilo.
Maendeleo ya kituo cha mRNA cha Afrika Kusini ni msingi wa kujitegemea
Africa COVID-19mRNA
Kitahakikisha Afrika ina uwezo wa kuzalisha ambao ni muhimu kwa utoaji wa chanjo wenye usawa
Afrika yahitaji fedha zaidi kukabiliana na COVID-19
COVID-19 VaccineAfreximbak
—Benedict Okey Oramah, Rais wa Afreximbank na Mwenyekiti, Bodi ya Wadhamini ya hazina ya Kuwajibikia COVID-19 ya Umoja wa Afrika.
'Lengo letu ni chanjo ya haraka kwa Waafrika milioni 800'
Africa COVID-19vaccine
—Benedict Okey Oramah, Rais wa Afreximbank na Mwenyekiti, Bodi ya Wadhamini wa Hazina ya Kukabili ya Umoja wa Afrika ya COVID-19.
Umoja wa Afrika (AU) ushinikize usawa katika upatikanaji wa chanjo za COVID-19
AfrikaCoronavirusi
Upatikanaji unahitaji mshikamano wa kimataifa, teknolojia ya pamoja na kuondoa masharti ya Haki Miliki.
Waafrika lazima wahusike katika majaribio ya chanjo, na wajitayarishe kuwa katika mstari wa kwanza ianzapo kutumika