Sorry, you need to enable JavaScript to visit this website.
Skip to main content

Mjumbe Maalum wa Umoja wa Afrika
Chakula— Mazungumzo na Ibrahim Mayaki, Mjumbe Maalum wa Umoja wa Afrika

— Ibrahim Mayaki ni Afisa Mkuu Mtendaji wa Ushirikiano Mpya wa Maendeleo ya Afrika (NEPAD), ambao kwa sasa unageuka kuwa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Afrika (AUDA)—chombo cha utekelezaji wa Umoja wa Afrika.