Sorry, you need to enable JavaScript to visit this website.
Skip to main content

Mshauri Maalumu kuhusu Afrika kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa
Africa COVID-19recovery

— Simulizi mpya ya maendeleo inahitajika kuwasilisha Bara la Afrika kama mdau muhimu na lililo na mafanikio na mazoea bora ya kushiriki

Africa Dialogue SeriesADS2019

Utamaduni tajiri wa Afrika unastahili kwenda zaidi ya mapambo ya kisanii, muziki au densi na kuonyesha mfumo thabiti wa maadili unaoyakumbatia mabadiliko, kukuza ubunifu na kuchangia kwa ulimwengu.